Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Ufunuo 9:13 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

13 Malaika wa sita akapiga baragumu, nikasikia sauti moja iliyotoka mbele za Mungu,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Kisha, malaika wa sita akapiga tarumbeta yake. Nami nikasikia sauti moja kutoka katika pembe nne za madhabahu ya dhahabu iliyokuwa mbele ya Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Kisha, malaika wa sita akapiga tarumbeta yake. Nami nikasikia sauti moja kutoka katika pembe nne za madhabahu ya dhahabu iliyokuwa mbele ya Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Kisha, malaika wa sita akapiga tarumbeta yake. Nami nikasikia sauti moja kutoka katika pembe nne za madhabahu ya dhahabu iliyokuwa mbele ya Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Malaika wa sita akaipiga tarumbeta yake, nami nikasikia sauti ikitoka katika zile pembe za madhabahu ya dhahabu iliyo mbele za Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Malaika wa sita akaipiga tarumbeta yake, nami nikasikia sauti ikitoka katika zile pembe za madhabahu ya dhahabu iliyoko mbele za Mungu.

Tazama sura Nakili




Ufunuo 9:13
7 Marejeleo ya Msalaba  

na Kuhani mkuu juu ya nyumba ya Mungu;


Kwa sababu Kristo hakuingia katika patakatifu palipofanyiku kwa mikono, ndio mfano wa patakatifu palipo patakatifu khalisi; hali aliingia mbinguni khassa, aonekane sasa usoni pa Mungu kwa ajili yetu;


Nikawaona malaika saba wasimamao mbele za Mungu, wakapewa baragumu saba.


MALAIKA wa tano akapiga baragumu, nikaona nyota iliyotoka mbinguni, imeanguka juu ya inchi; akapewa ufunguo wa shimo la abuso.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo