Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Ufunuo 8:1 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

1 HATTA alipofungua muhuri ya saba kukawa kimya mbinguni kama muda wa nussu ya saa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Na Mwanakondoo alipouvunja mhuri wa saba, kukawa kimya mbinguni kwa muda wa nusu saa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Na Mwanakondoo alipouvunja mhuri wa saba, kukawa kimya mbinguni kwa muda wa nusu saa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Na Mwanakondoo alipouvunja mhuri wa saba, kukawa kimya mbinguni kwa muda wa nusu saa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Mwana-Kondoo alipouvunja ule muhuri wa saba, pakawa kimya mbinguni kwa muda wa nusu saa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Mwana-Kondoo alipoivunja ile lakiri ya saba, pakawa kimya mbinguni kwa muda wa nusu saa.

Tazama sura Nakili




Ufunuo 8:1
14 Marejeleo ya Msalaba  

Wakenda zao, wakalilinda sana kaburi, wakilitia lile jiwe muhuri, pamoja na wale askari walinzi.


NIKAONA katika mkono wa kuume wa aliyeketi juu ya kiti cha enzi kitabu kilichoandikwa ndani na nyuma, kimetiwa muhuri saba.


Nao waimba uimbo mpya wakisema, Wastahili wewe kukitwaa kitabu na kuzifungua muhuri zake; kwa kuwa ulicbinjwa


NIKAONA hapo Mwana Kondoo alipofungua moja ya zile muhuri, nikasikia mmoja wa wale nyama wenye uhayi akisema, kama sauti ya ngurumo, Njoo! uone.


Nikaona, alipoifungua muhuri ya sita, tazama, palikuwa tetemeko kuu la inchi, jua likawa jeusi kama gunia la nywele, mwezi ukawa kama damu,


Na alipofungua muhuri ya pili, nikamsikia nyama wa pili akisema, Njoo uone.


Na alipoifungua muhuri ya tatu nikamsikia nyama wa tatu mwenye uhayi akisema, Njoo, none. Nikaona, na tazama, farasi mweusi, na yeye aliyempanda ana mizani mkononi mwake.


Na alipoifungua muhuri ya nne, nikasikia sauti ya nyama wa nne akisema, Njoo uone.


Na alipoifungua muhuri ya tano, nikaona chini ya madhbahu roho zao waliochinjwa kwa ajili ya neno la Mungu, na kwa ajili ya ushuhuda waliokuwa nao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo