Ufunuo 7:13 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192113 Akajibu mmoja wa wale wazee akaniambia, Watu hawa waliovikwa mavazi meupe ni nani? na walikotoka wapi? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Mmoja wa hao wazee akaniuliza, “Hawa waliovaa mavazi meupe ni watu gani? Na wametoka wapi?” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Mmoja wa hao wazee akaniuliza, “Hawa waliovaa mavazi meupe ni watu gani? Na wametoka wapi?” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Mmoja wa hao wazee akaniuliza, “Hawa waliovaa mavazi meupe ni watu gani? Na wametoka wapi?” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Kisha mmoja wa wale wazee akaniuliza, “Ni nani hawa waliovaa mavazi meupe, nao wametoka wapi?” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Kisha mmoja wa wale wazee ishirini na wanne akaniuliza, “Ni nani hawa waliovaa mavazi meupe, nao wametoka wapi?” Tazama sura |