Ufunuo 6:7 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19217 Na alipoifungua muhuri ya nne, nikasikia sauti ya nyama wa nne akisema, Njoo uone. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Kisha, Mwanakondoo akavunja mhuri wa nne. Nikamsikia yule kiumbe hai wa nne akisema, “Njoo!” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Kisha, Mwanakondoo akavunja mhuri wa nne. Nikamsikia yule kiumbe hai wa nne akisema, “Njoo!” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Kisha, Mwanakondoo akavunja mhuri wa nne. Nikamsikia yule kiumbe hai wa nne akisema, “Njoo!” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Alipouvunja ule muhuri wa nne, nikasikia sauti ya yule kiumbe wa nne mwenye uhai ikisema, “Njoo!” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Alipovunja ile lakiri ya nne, nikasikia sauti ya yule kiumbe wa nne mwenye uhai ikisema, “Njoo!” Tazama sura |