Ufunuo 6:3 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19213 Na alipofungua muhuri ya pili, nikamsikia nyama wa pili akisema, Njoo uone. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Kisha, Mwanakondoo akavunja mhuri wa pili. Nikamsikia yule kiumbe hai wa pili akisema, “Njoo!” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Kisha, Mwanakondoo akavunja mhuri wa pili. Nikamsikia yule kiumbe hai wa pili akisema, “Njoo!” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Kisha, Mwanakondoo akavunja mhuri wa pili. Nikamsikia yule kiumbe hai wa pili akisema, “Njoo!” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Alipouvunja ule muhuri wa pili, nikamsikia yule kiumbe wa pili mwenye uhai akisema, “Njoo!” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Alipoivunja ile lakiri ya pili, nikamsikia yule kiumbe wa pili mwenye uhai akisema, “Njoo!” Tazama sura |