Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Ufunuo 6:17 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

17 Kwa maana siku iliyo kuu, ya hasira yake, imekuja: na nani awezae kusimama?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Maana siku maalumu ya ghadhabu yao imefika. Nani awezaye kuikabili?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Maana siku maalumu ya ghadhabu yao imefika. Nani awezaye kuikabili?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Maana siku maalumu ya ghadhabu yao imefika. Nani awezaye kuikabili?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Kwa maana siku ile kuu ya ghadhabu yao imewadia. Je, ni nani awezaye kustahimili?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Kwa maana siku ile kuu ya ghadhabu yao imewadia. Je, ni nani awezaye kustahimili?”

Tazama sura Nakili




Ufunuo 6:17
20 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa hiyo kesheni killa wakati, mkiomba mpate kuhesabiwa kuwa mmestahili kuponea haya yote yatakayokuwa, na kusimama mahali penu mbele ya Mwana wa Adamu.


bali kwa kadiri ya ugumu wako, na kwa moyo wako usio na toba, wajiwekea akiba ya hasira kwa siku ile ya hasira na ufunuo wa hukumu ya haki ya Mungu,


Na malaika wasioilinda enzi yao, wakayaacha makao yao, amewaweka kwa hukumu ile kuu katika vifungo vya milele chini ya giza.


Na mataifa walighadhabika, ghadhabu yako ikaja, na wakati wa kuhukumiwa waliokufa, na wa kuwapa thawabu yao watumwa wako manabii na watakatifu, nao walichao jina lako, wadogo na wakubwa, na wa kuwaharibu hawo waiharibuo inchi.


Maana udizo roho za mashetani, zifanyazo ishara, zitokazo na kuwaendea wafalme wa inchi na wa ulimwengu wofe, kuwakusanya kwa vita ya siku ile kuu ya Mungu Mwenyiezi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo