Ufunuo 6:17 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192117 Kwa maana siku iliyo kuu, ya hasira yake, imekuja: na nani awezae kusimama? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 Maana siku maalumu ya ghadhabu yao imefika. Nani awezaye kuikabili?” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 Maana siku maalumu ya ghadhabu yao imefika. Nani awezaye kuikabili?” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 Maana siku maalumu ya ghadhabu yao imefika. Nani awezaye kuikabili?” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Kwa maana siku ile kuu ya ghadhabu yao imewadia. Je, ni nani awezaye kustahimili?” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 Kwa maana siku ile kuu ya ghadhabu yao imewadia. Je, ni nani awezaye kustahimili?” Tazama sura |