Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Ufunuo 5:7 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

7 Akaja, akakitwaa kitabu katika mkono wa kuume wake aliyeketi juu ya kiti kile cha enzi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Mwanakondoo akaenda, akakitwaa hicho kitabu kutoka mkono wa kulia wa yule aliyeketi juu ya kiti cha enzi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Mwanakondoo akaenda, akakitwaa hicho kitabu kutoka mkono wa kulia wa yule aliyeketi juu ya kiti cha enzi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Mwanakondoo akaenda, akakitwaa hicho kitabu kutoka mkono wa kulia wa yule aliyeketi juu ya kiti cha enzi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Huyo Mwana-Kondoo akaja na kukitwaa kile kitabu kutoka mkono wa kuume wa yule aliyeketi kwenye kile kiti cha enzi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Huyo Mwana-Kondoo akaja na kukitwaa kile kitabu kutoka kwenye mkono wa kuume wa yule aliyeketi kwenye kile kiti cha enzi.

Tazama sura Nakili




Ufunuo 5:7
3 Marejeleo ya Msalaba  

UFUNUO wa Yesu Kristo aliopewa na Mungu awaonyeshe watumishi wake mambo ambayo kwamba hayana buddi kuwa upesi: akatuma kwa mkono wa malaika akamwonyesha mtumishi wake Yohana;


NIKAONA katika mkono wa kuume wa aliyeketi juu ya kiti cha enzi kitabu kilichoandikwa ndani na nyuma, kimetiwa muhuri saba.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo