Ufunuo 4:2 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19212 Na marra nalikuwa katika Roho; na tazama, kiti cha enzi kimewekwa mbinguni na juu ya kile kiti ameketi mmoja: Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 Mara nikakumbwa na Roho. Kumbe, huko mbinguni kuna kiti cha enzi na juu yake ameketi mmoja. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 Mara nikakumbwa na Roho. Kumbe, huko mbinguni kuna kiti cha enzi na juu yake ameketi mmoja. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 Mara nikakumbwa na Roho. Kumbe, huko mbinguni kuna kiti cha enzi na juu yake ameketi mmoja. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 Ghafula nilikuwa katika Roho wa Mungu, na hapo mbele yangu palikuwa kiti cha enzi mbinguni, kikiwa kimekaliwa na mtu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 Ghafula nilikuwa katika Roho, na hapo mbele yangu kilikuwepo kiti cha enzi mbinguni, kikiwa kimekaliwa na mtu. Tazama sura |