Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Ufunuo 3:19 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

19 Mimi nawakemea wote niwapendao, na kuwarudi: bassi uwe na bidii, ukatubu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Mimi ndiye mwenye kumwonya na kumrudi yeyote ninayempenda. Kwa hiyo uwe na bidii na kutubu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Mimi ndiye mwenye kumwonya na kumrudi yeyote ninayempenda. Kwa hiyo uwe na bidii na kutubu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Mimi ndiye mwenye kumwonya na kumrudi yeyote ninayempenda. Kwa hiyo uwe na bidii na kutubu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Wale ninaowapenda, ninawakemea na kuwaadibisha. Hivyo uwe na bidii ukatubu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 “Wale niwapendao, ninawakemea na kuwaadibisha. Hivyo uwe na bidii ukatubu.

Tazama sura Nakili




Ufunuo 3:19
31 Marejeleo ya Msalaba  

Marra wakaondoka wanawali wale wote, wakazitengeneza taa zao.


Wanafunzi wake wakakumbuka ya kuwa imeandikwa, Wivu wa nyumba yako umenila.


kwa bidii, si walegevu; mkiwa na juhudi katika roho zenu; mkimtumikia Bwana;


Tuhukumiwapo, twarudiwa na Bwana, tusipate kupasishwa adhabu pamoja na dunia.


kama wasiojulika, bali wajulikao sana; kama wanaokufa, kumbe tu hayi; kama wanaorudiwa, bali wasiouawa;


Maana, angalieni, kuhuzunishwa kuko huko mbele za Mungu kwalitenda bidii ya namna gani ndani yenu; naam, na kujitetea, naam, na kukasirika, naam, na khofu, naam, na shauku, naam, na kujitahidi, naam, na kisasi. Kwa killa njia mmejionyesha kuwa safi katika jambo hilo.


Na ni vyema kuonewa shauku katika neno jema siku zote, wala si wakati nikiwapo mimi tu.


aliyejitoa nafsi yake kwa ajili yetu, illi atuokoe na maasi yote, na kujisafishia watu wawe milki yake, walio na juhudi kwa matendo mema.


Yu kheri astahimiliye majaribu; kwa sababu akipata kibali ataipokea taji ya uzima, Bwana aliyowaahidia wampendao.


Bassi, kumbuka ulikoanguka, nkatubu, ukayatende matendo ya kwanza. Lakini, usipotenda hivyo, naja kwako upesi, nitaondoa kinara chako katika mahali pake, usipotubu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo