Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Ufunuo 3:13 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

13 Yeye aliye na sikio na asikie neno bili ambalo Roho ayaambia makanisa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 “Aliye na masikio, basi, na ayasikie yale Roho anayoyaambia makanisa!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 “Aliye na masikio, basi, na ayasikie yale Roho anayoyaambia makanisa!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 “Aliye na masikio, basi, na ayasikie yale Roho anayoyaambia makanisa!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Yeye aliye na sikio na asikie yale ambayo Roho wa Mungu ayaambia makundi ya waumini.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Yeye aliye na sikio na asikie yale ambayo Roho ayaambia makundi ya waumini.

Tazama sura Nakili




Ufunuo 3:13
8 Marejeleo ya Msalaba  

Mwenye masikio ya kusikilia, na asikie.


Mwenye masikio ya kusikilia, na asikie.


Mtu akiwa na masikio ya kusikilia, na asikie.


Mtu akiwa na masikio ya kusikilia, na asikie.


Nyingine zikaanguka penye udongo mwema, zikamea, zikazaa mia mia. Alipokuwa akinena haya, akapaaza sauti yake, akisema, Mwenye masikio ya kusikilia, na asikie.


Yeye aliye na sikio na asikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa. Yeye ashindae hatapatikana na madhara ya mauti ya pili.


Yeye alive na sikio, na asikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa. Yeye ashindae, nitampa kula matunda ya mti wa uzima ulio kati kati va bustani ya Mungu.


Yeye aliye na sikio na asikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo