Ufunuo 3:1 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19211 NA kwa malaika wa kanisa lililo katika Sardi, andika; Haya ayanena yeye aliye nazo roho saba za Mungu na zile nyota saba: Najua matendo yako, ya kuwa una jina la kuwa hayi, nawe umekufa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 “Kwa malaika wa kanisa la Sarde andika: “Mimi niliye na roho saba za Mungu na nyota saba, nasema hivi: Nayajua mambo yako yote; najua unajulikana kuwa na uhai kumbe umekufa! Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 “Kwa malaika wa kanisa la Sarde andika: “Mimi niliye na roho saba za Mungu na nyota saba, nasema hivi: Nayajua mambo yako yote; najua unajulikana kuwa na uhai kumbe umekufa! Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 “Kwa malaika wa kanisa la Sarde andika: “Mimi niliye na roho saba za Mungu na nyota saba, nasema hivi: Nayajua mambo yako yote; najua unajulikana kuwa na uhai kumbe umekufa! Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 “Kwa malaika wa kundi la waumini lililoko Sardi, andika: Haya ndio maneno ya aliye na zile Roho saba za Mungu na zile nyota saba. Nayajua matendo yako, kwamba una sifa ya kuwa hai, lakini umekufa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 “Kwa malaika wa kundi la waumini lililoko Sardi, andika: “Haya ndiyo maneno ya aliye na zile Roho saba za Mungu na zile nyota saba. Nayajua matendo yako, kwamba una sifa ya kuwa hai, lakini umekufa. Tazama sura |