Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Ufunuo 22:13 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

13 Mimi Alfa na Omega, Mwanzo na Mwisho, wa kwanza na wa mwisho.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Mimi ni Alfa na Omega, wa kwanza na wa mwisho, mwanzo na mwisho.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Mimi ni Alfa na Omega, wa kwanza na wa mwisho, mwanzo na mwisho.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Mimi ni Alfa na Omega, wa kwanza na wa mwisho, mwanzo na mwisho.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Mimi ni Alfa na Omega, wa Kwanza na wa Mwisho, Mwanzo na Mwisho.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Mimi ni Alfa na Omega, wa Kwanza na wa Mwisho, Mwanzo na Mwisho.

Tazama sura Nakili




Ufunuo 22:13
10 Marejeleo ya Msalaba  

Mungu akiwa ametukuzwa ndani yake, Mungu nae atamtukuza ndani ya nafsi yake; na marra atamtukuza.


ikinena, Mimi ni Alfa na Omega, wa kwanza na wa mwisho. Haya uonayo yaandike katika chuo, ukayapeleke kwa makanisa saba yaliyo katika Asia; Efeso, na Smurna, na Pergamo, na Thuatera, na Sardi, na Filadelfia, na Laodikia.


Na nilipomwona nalianguka miguuni pake kama mtu aliyekufa. Akaweka mkono wake wa kuume juu yangu, akiniambia, Usiogope, Mimi ni wa kwanza na wa mwisho,


Mimi ni Alfa na Omega, mwanzo na mwisiio, asema Bwana Mungu, alioko, aliyekuwako, na atakaekuwako, Mwenyiezi.


Na kwa malaika wa kanisa lililo katika Smurna andika; Haya ayanena yeye aliye wa kwanza na wa mwisbo, aliyekuwa amekufa, akawa hayi.


Akaniambia, Imekwisha kuwa. Mimi ni Alfa na Omega, Mwanzo na Mwisho. Mimi nitampa mwenye kin maji ya chemchemi ya maji ya uzima, burre.


Na kwa Kanisa lililo katika Laodikia andika; Haya ayanena yeye aliye Amin, Shahidi aliye mwaminifu, mwanzo wa viumbe vya Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo