Ufunuo 21:22 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192122 Nami sikuona hekalu ndani yake; kwa maana Bwana Mungu Mwenyiezi ni hekalu lake, na Mwana kondoo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema22 Sikuona hekalu katika mji huo, maana Bwana Mungu Mwenye Nguvu na yule Mwanakondoo ndio hekalu lake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND22 Sikuona hekalu katika mji huo, maana Bwana Mungu Mwenye Nguvu na yule Mwanakondoo ndio hekalu lake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza22 Sikuona hekalu katika mji huo, maana Bwana Mungu Mwenye Nguvu na yule Mwanakondoo ndio hekalu lake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu22 Sikuona Hekalu ndani ya huo mji kwa sababu Bwana Mungu Mwenyezi na Mwana-Kondoo ndio Hekalu lake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu22 Sikuona Hekalu ndani ya huo mji kwa sababu bwana Mwenyezi Mungu na Mwana-Kondoo ndio hekalu lake. Tazama sura |