Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Ufunuo 21:16 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

16 Na ule mji ni wa mrabba, na marefu yake sawa sawa na mapana yake. Akaupima mji kwa ule mwanzi, hatta stadio thenashara elfu. Marefu yake na mapana yake na kwenda juu kwake mamoja.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Mji wenyewe ulikuwa wa mraba, upana na urefu wake sawa. Basi, malaika akaupima mji huo kwa kijiti chake: Ulikuwa na urefu, upana na kimo cha kama kilomita 2,400.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Mji wenyewe ulikuwa wa mraba, upana na urefu wake sawa. Basi, malaika akaupima mji huo kwa kijiti chake: Ulikuwa na urefu, upana na kimo cha kama kilomita 2,400.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Mji wenyewe ulikuwa wa mraba, upana na urefu wake sawa. Basi, malaika akaupima mji huo kwa kijiti chake: ulikuwa na urefu, upana na kimo cha kama kilomita 2,400.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Mji huo ulikuwa mraba, urefu wake ulikuwa sawa na upana wake. Akaupima huo mji kwa huo ufito akakuta una kama stadioni 12,000; urefu wake na upana wake na kwenda juu kwake vilikuwa sawa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Mji huo ulikuwa mraba, urefu wake ulikuwa sawa na upana wake. Akaupima huo mji kwa huo ufito akakuta una kama kilomita 2,200; urefu wake na upana wake na kwenda juu kwake vilikuwa sawa.

Tazama sura Nakili




Ufunuo 21:16
6 Marejeleo ya Msalaba  

Na yeye aliyenena nami alikuwa na mwanzi wa dhababu apate kuupima mji na milango yake na ukuta wake.


Akaupima ukuta wake, ni dhiraa misi na arubaini na nne, kwa kipimo cha mwana Adamu, maana yake, cha malaika,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo