Ufunuo 20:5 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19215 Na wafu waliosalia hawakuwa hayi, hatta ikatimia ile miaka elfu. Huo ndio ufufuo wa kwanza. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 (Wale wengine waliokufa hawakupata uhai mpaka miaka 1,000 itimie). Huu ndio ufufuo wa kwanza. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 (Wale wengine waliokufa hawakupata uhai mpaka miaka 1,000 itimie). Huu ndio ufufuo wa kwanza. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 (Wale wengine waliokufa hawakupata uhai mpaka miaka 1,000 itimie). Huu ndio ufufuo wa kwanza. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 (Wafu waliosalia hawakufufuka hadi ilipotimia hiyo miaka elfu.) Huu ndio ufufuo wa kwanza. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 (Wafu waliosalia hawakufufuka mpaka ilipotimia hiyo miaka 1,000.) Huu ndio ufufuo wa kwanza. Tazama sura |