Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Ufunuo 20:1 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

1 NIKAONA malaika akishuka kutoka mbinguni, mwenye ufunguo wa abuso, na mnyororo mkubwa mkononi mwake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Kisha, nikamwona malaika mmoja anashuka kutoka mbinguni akiwa na ufunguo wa kuzimu na mnyororo mkubwa mkononi mwake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Kisha, nikamwona malaika mmoja anashuka kutoka mbinguni akiwa na ufunguo wa kuzimu na mnyororo mkubwa mkononi mwake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Kisha, nikamwona malaika mmoja anashuka kutoka mbinguni akiwa na ufunguo wa kuzimu na mnyororo mkubwa mkononi mwake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Kisha nikaona malaika akishuka kutoka mbinguni, akiwa ameshika ufunguo wa lile Shimo na mnyororo mkubwa mkononi mwake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Kisha nikaona malaika akishuka kutoka mbinguni, akiwa ameshika ufunguo wa lile Shimo na mnyororo mkubwa mkononi mwake.

Tazama sura Nakili




Ufunuo 20:1
8 Marejeleo ya Msalaba  

Akamsihi asiwaamuru waende zao hatta abusso.


Kwa maana kama vile Mungu hakuwaachilia malaika waliokosa, bali aliwatupa shimoni, akawatia katika mafungo ya giza, walindwe hatta ije hukumu;


Na malaika wasioilinda enzi yao, wakayaacha makao yao, amewaweka kwa hukumu ile kuu katika vifungo vya milele chini ya giza.


na aliye hayi; nami nalikuwa nimekufa, na tazama ni hayi hatta milele na milele. Amin. Nami ninazo funguo za mauti, na za kuzimu.


NIKAONA malaika mwingine hodari akishuka kutoka mbinguni, amevikwa wingu; na upinde wa mvua juu ya kichwa chake: na uso wake kama jua, na miguu yake kama nguzo za moto.


BAADA ya haya nalioua malaika mwingine akishuka kutoka mbinguni, mwenye mamlaka kuu, inchi ikaangazwa kwa utukufu wake.


akamtupa katika abuso, akamfunga, akatia muhuri juu yake, asipate kuwadanganya mataifa tena, hatta ile miaka elfu itimie; na baada ya haya imepasa afunguliwe muaa mchache.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo