Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Ufunuo 2:8 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

8 Na kwa malaika wa kanisa lililo katika Smurna andika; Haya ayanena yeye aliye wa kwanza na wa mwisbo, aliyekuwa amekufa, akawa hayi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 “Kwa malaika wa kanisa la Smurna andika: “Mimi niliye wa kwanza na wa mwisho, ambaye nilikufa na kuishi tena, nasema hivi:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 “Kwa malaika wa kanisa la Smurna andika: “Mimi niliye wa kwanza na wa mwisho, ambaye nilikufa na kuishi tena, nasema hivi:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 “Kwa malaika wa kanisa la Smurna andika: “Mimi niliye wa kwanza na wa mwisho, ambaye nilikufa na kuishi tena, nasema hivi:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 “Kwa malaika wa kundi la waumini lililoko Smirna, andika: Haya ndio maneno yake yeye aliye wa Kwanza na wa Mwisho, aliyekufa kisha akafufuka.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 “Kwa malaika wa kundi la waumini lililoko Smirna, andika: “Haya ndiyo maneno yake yeye aliye wa Kwanza na wa Mwisho, aliyekufa kisha akafufuka.

Tazama sura Nakili




Ufunuo 2:8
8 Marejeleo ya Msalaba  

Maana Kristo alikufa akafufuka akawa hayi tena kwa sababu hii, awamiliki waliokufa na walio hayi pia.


ikinena, Mimi ni Alfa na Omega, wa kwanza na wa mwisho. Haya uonayo yaandike katika chuo, ukayapeleke kwa makanisa saba yaliyo katika Asia; Efeso, na Smurna, na Pergamo, na Thuatera, na Sardi, na Filadelfia, na Laodikia.


Mimi ni Alfa na Omega, mwanzo na mwisiio, asema Bwana Mungu, alioko, aliyekuwako, na atakaekuwako, Mwenyiezi.


KWA malaika wa kanisa lililo katika Efeso andika; Haya ayanena yeye azishikae nyota saba katika mkono wake wa kuume, aendae kati kati ya vile vinara saba vya dhahabu.


Mimi Alfa na Omega, Mwanzo na Mwisho, wa kwanza na wa mwisho.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo