Ufunuo 2:8 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19218 Na kwa malaika wa kanisa lililo katika Smurna andika; Haya ayanena yeye aliye wa kwanza na wa mwisbo, aliyekuwa amekufa, akawa hayi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 “Kwa malaika wa kanisa la Smurna andika: “Mimi niliye wa kwanza na wa mwisho, ambaye nilikufa na kuishi tena, nasema hivi: Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 “Kwa malaika wa kanisa la Smurna andika: “Mimi niliye wa kwanza na wa mwisho, ambaye nilikufa na kuishi tena, nasema hivi: Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 “Kwa malaika wa kanisa la Smurna andika: “Mimi niliye wa kwanza na wa mwisho, ambaye nilikufa na kuishi tena, nasema hivi: Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 “Kwa malaika wa kundi la waumini lililoko Smirna, andika: Haya ndio maneno yake yeye aliye wa Kwanza na wa Mwisho, aliyekufa kisha akafufuka. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 “Kwa malaika wa kundi la waumini lililoko Smirna, andika: “Haya ndiyo maneno yake yeye aliye wa Kwanza na wa Mwisho, aliyekufa kisha akafufuka. Tazama sura |