Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Ufunuo 2:27 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

27 nae atawachunga kwa fimbo ya chuma, kama vyombo vya mfinyangi visetwavyo, kama mimi nilivyopokea kwa Baba yangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

27 Atawaongoza kwa fimbo ya chuma na kuwavunjavunja kama vyombo vya udongo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

27 Atawaongoza kwa fimbo ya chuma na kuwavunjavunja kama vyombo vya udongo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

27 atawaongoza kwa fimbo ya chuma na kuwavunjavunja kama vyombo vya udongo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

27 ‘Atawatawala kwa fimbo ya chuma, atawavunja vipande vipande kama chombo cha udongo’: kama mimi nilivyopokea mamlaka kutoka kwa Baba yangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

27 “ ‘Atawatawala kwa fimbo ya chuma, atawavunja vipande vipande kama chombo cha udongo’: kama vile mimi nilivyopokea mamlaka kutoka kwa Baba yangu.

Tazama sura Nakili




Ufunuo 2:27
12 Marejeleo ya Msalaba  

Nimekabidhiwa vyote na Baba yangu: wala hakuna mtu amjuae Mwana, illa Baba; wala hakuna mtu amjuae Baba illa Mwana, na ye yote ambae Mwana apenda kumfunulia.


Nanyi ndinyi mliodumu pamoja nami katika majaribu yangu. Nami nawawekea ninyi ufalme, kama alivyoniwekea Baba yangu;


Baba, hao nao ulionipa, nataka wawe pamoja nami nilipo, wapate kuutazama utukufu wangu ulionipa; kwa maana ulinipenda kabla ya kuwekwa misingi ya ulimwengu.


Na yule joka akasimama mbele ya yule mwanamke aliye tayari kuzaa, illi azaapo, amle mtoto wake. Akazaa mtoto mwanamume, atakaewachunga mataifa yote kwa fimbo ya chuma. Na mtoto wake akanyakuliwa hatta kwa Mungu na kwa kiti cbake cha enzi.


Na upanga mkali hutoka kinywani mwake awapige mataifa kwa huo. Nae atawachunga kwa fimbo ya chuma, nae anakanyaga shinikizo la mvinyo ya ukali wa ghadhabu ya Mungu Mwenyiezi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo