Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Ufunuo 2:25 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

25 Illa mlicho nacho kishikeni, hatta nitakapokuja.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Lazima mzingatie yale mliyo nayo sasa mpaka nitakapokuja.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Lazima mzingatie yale mliyo nayo sasa mpaka nitakapokuja.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Lazima mzingatie yale mliyo nayo sasa mpaka nitakapokuja.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 Lakini shikeni sana mlicho nacho, hadi nitakapokuja.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 Lakini shikeni sana mlicho nacho, mpaka nitakapokuja.

Tazama sura Nakili




Ufunuo 2:25
16 Marejeleo ya Msalaba  

Bassi nikishika njia kwenda kuwaandalia mahali, nitakuja tena, niwakaribisheni kwangu; illi nilipo mimi, nanyi mwepo.


Akasimama mmojawapo wao, jina lake Agabo, akaonyesha kwa nweza wa Roho Mtakatifu kwamba njaa kubwa itakuja karibu katika dunia nzima; nayo ikatukia katika siku za Klaudio Kaisari.


Pendo niwe nalo pasipo unafiki; mkichukia lililo ovu, mkiambatana na lililo jema.


Maana killa mwulapo mkate huu na kunywea kikombe hiki, mwaitangaza mauti ya Bwana hatta ajapo.


Bassi msihukumu neno kabla ya wakati wake, mpaka ajapo Bwana; nae atayamulika yaliyosetirika ya giza, na kuyadhihirisha mashauri ya mioyo; ndipo killa mtu atakapoipata sifa yake kwa Mungu.


jaribuni vyote; lishikeni lililo jema;


Tulishike sana ungamo la tumaini letu, lisigeuke; maana yeye aliyeahidi ni amini;


bali Kristo, kama mwana, juu ya nyumba yake; ambae nyumba yake ni sisi, kama tukishikamana sana na ujasiri wetu na kujisifu kwetu, kwa kutumaini mpaka mwisho.


Bassi, iwapo tunae kuhani mkuu aliyeingia katika mbingu, Yesu, Mwana wa Mungu, tujashike sana maungamo yetu.


Maana siku ya Bwana itakuja kama mwizi usiku; katika siku biyo mbingu zitatoweka kwa mshindo mkuu, na viumbe vya asili vitaunguzwa, na kufumuliwa, na inchi na kazi zilizomo ndani yake zitateketea.


Tazama yuaja na mawingu: na killa jicho litamwona, na hawo waliomchoma; na kabila zote za dunia wataomboleza kwa ajili yake. Naam. Amin.


Yeye mwenye kuyashuhudia haya asema, Naam; Naja upesi. Amin: na uje Bwana Yesu.


Tazama, naja upesi; yu kheri yeye ayashikae maneno ya unabii wa kitabu hiki.


Tazama, naja upesi. Shika sana ulicho nacho asije mtu akaitwaa taji yako.


Bassi kumbuka jinsi ulivyopokea, na jinsi ulivyosikia; yashike hayo na kutubu. Illakini usipokesha nitakuja kwako kama mwizi, nawe hutaijua saa nitakayokuja kwako.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo