Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Ufunuo 2:21 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

21 Nami nimempa muda illi atubu uzinzi wake, nae bataki kutubu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Nimempa muda wa kutubu, lakini hataki kuachana na uzinzi wake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Nimempa muda wa kutubu, lakini hataki kuachana na uzinzi wake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Nimempa muda wa kutubu, lakini hataki kuachana na uzinzi wake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Nimempa muda ili atubu kwa ajili ya uasherati wake, lakini hataki.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Nimempa muda ili atubu kwa ajili ya uasherati wake, lakini hataki.

Tazama sura Nakili




Ufunuo 2:21
9 Marejeleo ya Msalaba  

Bassi, ikiwa Mungu kwa kutaka kuonyesha ghadhabu yake, na kujulisha uweza wake kwa uvumilivu mwingi alichukuliana na vile vyombo vya ghadhabu vilivyofanywa tayari kwa uharibifu;


akawakhubiri watu wasiotii hapo zamani, uvumilivu wa Mungu ulipokuwa ukingoja, siku za Nuhu, safina ilipokuwa ikitengenezwa; ndani yake watu wachache, yaani, watu wanane, waliokoka kwa maji.


Na ubasibuni uvumilivu wa Bwana wetu kuwa wokofu, kama vile na ndugu yetu mpenzi Paolo alivyowaandlkieni kwa hekima aliyopewa;


Bwana hakawii kuitimiza ahadi yake, kama wengine wahesabuvyo kukawia, bali huvumilia kwenu, hapendi mtu aliye yote apotee, bali wote wafikilie toba.


wakamtukana Mungu wa mbingu kwa sababu ya maumivu yao, na kwa sababu ya majipu yao, wala hawakuyatubia matendo yao.


Wana Adamu wakaunguzwa maunguzo makubwa, wakalitukana jina la Mungu aliye na mamlaka juu ya mapigo yote, wala hawtikutubu na kumpa utukufu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo