Ufunuo 2:12 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192112 Na kwa malaika wa kanisa lililo katika Pergamo, andika; Haya ayanena yeye aliye na upanga mkali, mkali kuwili; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 “Kwa malaika wa kanisa la Pergamumu andika: “Mimi niliye na upanga mkali wenye makali kuwili nasema hivi: Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 “Kwa malaika wa kanisa la Pergamumu andika: “Mimi niliye na upanga mkali wenye makali kuwili nasema hivi: Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 “Kwa malaika wa kanisa la Pergamumu andika: “Mimi niliye na upanga mkali wenye makali kuwili nasema hivi: Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 “Kwa malaika wa kundi la waumini lililoko Pergamo, andika: Haya ndio maneno yake yeye aliye na upanga mkali wenye makali kuwili. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 “Kwa malaika wa kundi la waumini lililoko Pergamo, andika: “Haya ndiyo maneno yake yeye aliye na upanga mkali wenye makali kuwili. Tazama sura |