Ufunuo 19:7 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19217 Na tufurahi tukashangilie tukampe ulukufu wake; kwa kuwa arusi ya Mwana Kondoo imekuja, na mkewe amejiweka tayari. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Tufurahi na kushangilia; tumtukuze, kwani wakati wa harusi ya Mwanakondoo umefika, na bibi arusi yuko tayari. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Tufurahi na kushangilia; tumtukuze, kwani wakati wa harusi ya Mwanakondoo umefika, na bibi arusi yuko tayari. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Tufurahi na kushangilia; tumtukuze, kwani wakati wa harusi ya Mwanakondoo umefika, na bibi arusi yuko tayari. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Tufurahi, tushangilie na kumpa utukufu! Kwa maana arusi ya Mwana-Kondoo imewadia na bibi arusi wake amejiweka tayari. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Tufurahi, tushangilie na kumpa utukufu! Kwa maana arusi ya Mwana-Kondoo imewadia na bibi arusi wake amejiweka tayari. Tazama sura |