Ufunuo 19:3 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19213 Wakasema marra ya pili, Halleluya. Na moshi wake hupaa juu hatta milele na milele, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Wakasema, “Asifiwe Mungu! Moshi wa moto unaoteketeza mji huo utapanda juu milele na milele!” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Wakasema, “Asifiwe Mungu! Moshi wa moto unaoteketeza mji huo utapanda juu milele na milele!” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Wakasema, “Asifiwe Mungu! Moshi wa moto unaoteketeza mji huo utapanda juu milele na milele!” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Wakasema tena kwa sauti kuu: “Haleluya! Moshi wake huyo kahaba unapanda juu milele na milele.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Wakasema tena kwa nguvu: “Haleluya! Moshi wake huyo kahaba unapanda juu milele na milele.” Tazama sura |