Ufunuo 19:16 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192116 Nae ana jina limeandikwa katika vazi lake mi paja vake, MFALME WA WAFALME, NA BWANA WA MABWANA. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Juu ya vazi lake, na juu ya paja lake, alikuwa ameandikwa jina: “Mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Juu ya vazi lake, na juu ya paja lake, alikuwa ameandikwa jina: “Mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Juu ya vazi lake, na juu ya paja lake, alikuwa ameandikwa jina: “Mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Kwenye joho lake na paja lake pameandikwa jina hili: Mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Kwenye joho lake na paja lake pameandikwa jina hili: mfalme wa wafalme, na bwana wa mabwana. Tazama sura |