Ufunuo 19:14 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192114 Na majeslii yaliyo mbinguni yakamfuata, wamepanda farasi weupe na kuvikwa katani safi, nyeupe. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Majeshi ya mbinguni yalimfuata yakiwa yamepanda farasi weupe na yamevaa mavazi ya kitani, meupe na safi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Majeshi ya mbinguni yalimfuata yakiwa yamepanda farasi weupe na yamevaa mavazi ya kitani, meupe na safi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Majeshi ya mbinguni yalimfuata yakiwa yamepanda farasi weupe na yamevaa mavazi ya kitani, meupe na safi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Majeshi ya mbinguni walikuwa wakimfuata, wakiwa wamepanda farasi weupe, hali wamevaa mavazi ya kitani safi, nyeupe na nzuri. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Majeshi ya mbinguni walikuwa wakimfuata, wakiwa wamepanda farasi weupe, hali wamevaa mavazi ya kitani safi, nyeupe na nzuri. Tazama sura |