Ufunuo 18:8 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19218 Kwa sababu hiyo mapigo yake yatakuja katika siku moja, manti, na huzuni, na njaa, nae atateketezwa kwa moto. Kwa maana Bwana Mungu aliyemhukumu ni hodari. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Kwa sababu hiyo mabaa yake yatampata kwa siku moja: Ugonjwa, huzuni na njaa. Atachomwa moto, maana Bwana Mungu mwenye kumhukumu ana nguvu.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Kwa sababu hiyo mabaa yake yatampata kwa siku moja: Ugonjwa, huzuni na njaa. Atachomwa moto, maana Bwana Mungu mwenye kumhukumu ana nguvu.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Kwa sababu hiyo mabaa yake yatampata kwa siku moja: ugonjwa, huzuni na njaa. Atachomwa moto, maana Bwana Mungu mwenye kumhukumu ana nguvu.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Kwa hiyo mapigo yatampata kwa siku moja: mauti, maombolezo na njaa. Naye atateketezwa kwa moto, kwa maana Mwenyezi Mungu amhukumuye ana nguvu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Kwa hiyo mapigo yatampata kwa siku moja: mauti, maombolezo na njaa. Naye atateketezwa kwa moto, kwa maana bwana Mwenyezi Mungu amhukumuye ana nguvu. Tazama sura |