Ufunuo 18:14 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192114 Na matunda yaliyotamaniwa na roho yako yamekuondokea; na vitu vyote vilivyo laini na vitu vya fakhari vimekuondokea; wala hulaviona tena kamwe. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Wafanyabiashara wanamwambia: “Faida yote uliyotazamia imetoweka, na utajiri na fahari vimekuponyoka; hutaweza kuvipata tena!” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Wafanyabiashara wanamwambia: “Faida yote uliyotazamia imetoweka, na utajiri na fahari vimekuponyoka; hutaweza kuvipata tena!” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Wafanyabiashara wanamwambia: “Faida yote uliyotazamia imetoweka, na utajiri na fahari vimekuponyoka; hutaweza kuvipata tena!” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 “Watasema, ‘Yale matunda ambayo roho yako iliyatamani yamekoma. Utajiri wako wote na fahari yako vimetoweka, wala haviwezi kupatikana tena kamwe!’ Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 “Watasema, ‘Yale matunda ambayo roho yako iliyatamani yamekoma. Utajiri wako wote na fahari yako vimetoweka, wala haviwezi kupatikana tena kamwe!’ Tazama sura |