Ufunuo 18:11 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192111 Na matajiri wa inchi walia na kumwombolezea kwa sababu hapana mtu anunuae bidhaa yake tena, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Wafanyabiashara wa dunia watalia na kumfanyia matanga, maana hakuna mtu anayenunua tena bidhaa zao; Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Wafanyabiashara wa dunia watalia na kumfanyia matanga, maana hakuna mtu anayenunua tena bidhaa zao; Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Wafanyabiashara wa dunia watalia na kumfanyia matanga, maana hakuna mtu anayenunua tena bidhaa zao; Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 “Wafanyabiashara wa dunia watalia na kumwomboleza kwa sababu hakuna anunuaye bidhaa zao tena: Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 “Wafanyabiashara wa dunia watalia na kumwomboleza kwa sababu hakuna anunuaye bidhaa zao tena: Tazama sura |