Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Ufunuo 17:15 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

15 Akaniambia, Yale maji uliyoyaona, aketipo yule kahaba, ni jamaa na makutano na mataifa na lugha.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Malaika akaniambia pia, “Yale maji uliyoyaona pale alipokaa yule mzinzi: Ni makundi ya watu wa kila taifa, rangi na lugha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Malaika akaniambia pia, “Yale maji uliyoyaona pale alipokaa yule mzinzi: Ni makundi ya watu wa kila taifa, rangi na lugha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Malaika akaniambia pia, “Yale maji uliyoyaona pale alipokaa yule mzinzi: ni makundi ya watu wa kila taifa, rangi na lugha.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Kisha yule malaika akaniambia, “Yale maji uliyoyaona yule kahaba akiwa ameketi juu yake ni jamaa, makundi ya watu, mataifa na lugha.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Kisha yule malaika akaniambia, “Yale maji uliyoyaona yule kahaba akiwa ameketi juu yake ni jamaa, makutano, mataifa na lugha.

Tazama sura Nakili




Ufunuo 17:15
14 Marejeleo ya Msalaba  

Akaniambia, Imekupasa kutoa unabii tena juu ya watu na taifa na lugha na wafalme wengi.


Na watu wa hawo jamaa na kabila na lugha na taifa wataitazama mizoga yao siku tatu u nussu, wala hawataiacha mizoga yao kuwekwa kaburini.


AKAJA mmoja wa malaika wale saba wenye vile vichupa saba, akanena nami, akisema, Njoo huku, nitakuonyesha hukumu ya yule kahaba mkuu aketiye juu ya maji mengi,


Nao waimba uimbo mpya wakisema, Wastahili wewe kukitwaa kitabu na kuzifungua muhuri zake; kwa kuwa ulicbinjwa


Tufuate:

Matangazo


Matangazo