Ufunuo 16:8 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19218 Malaika wa nne akakimimina kichupa chake juu ya jua; likapewa kuwaunguza wana Adamu kwa moto. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Kisha malaika wa nne akamwaga bakuli lake juu ya jua. Jua likapewa nguvu ya kuwachoma watu kwa moto wake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Kisha malaika wa nne akamwaga bakuli lake juu ya jua. Jua likapewa nguvu ya kuwachoma watu kwa moto wake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Kisha malaika wa nne akamwaga bakuli lake juu ya jua. Jua likapewa nguvu ya kuwachoma watu kwa moto wake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Malaika wa nne akamimina bakuli lake kwenye jua, nalo likapewa nguvu za kuwaunguza watu kwa moto. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Malaika wa nne akamimina bakuli lake kwenye jua, nalo likapewa nguvu za kuwaunguza watu kwa moto. Tazama sura |