Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Ufunuo 16:8 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

8 Malaika wa nne akakimimina kichupa chake juu ya jua; likapewa kuwaunguza wana Adamu kwa moto.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Kisha malaika wa nne akamwaga bakuli lake juu ya jua. Jua likapewa nguvu ya kuwachoma watu kwa moto wake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Kisha malaika wa nne akamwaga bakuli lake juu ya jua. Jua likapewa nguvu ya kuwachoma watu kwa moto wake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Kisha malaika wa nne akamwaga bakuli lake juu ya jua. Jua likapewa nguvu ya kuwachoma watu kwa moto wake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Malaika wa nne akamimina bakuli lake kwenye jua, nalo likapewa nguvu za kuwaunguza watu kwa moto.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Malaika wa nne akamimina bakuli lake kwenye jua, nalo likapewa nguvu za kuwaunguza watu kwa moto.

Tazama sura Nakili




Ufunuo 16:8
11 Marejeleo ya Msalaba  

na jua lilipozuka zikanyauka; na kwa kuwa hazina mizizi zikakauka.


Na kutakuwa ishara katika jua na mwezi na nyota: na katika inchi dhiiki ya mataifa, wakishangaa kwa uvumi wa bahari na msukosuko wake;


Jua litageuka kuwa giza, Na mwezi kuwa damu, Kabla ya kuja ile siku ya Bwana Iliyo kuu, dhahiri.


Na malaika mwingine akatoka katika ile madhbabu, mwenye mamlaka juu ya moto; kwa sauti kuu akamlilia yule mwenye mundu ule mkali, akisema, Tia mundu wako mkali, ukachume matawi va mzabibu wa inchi, maana zabibu zake zimewiva sana.


Nikaona, alipoifungua muhuri ya sita, tazama, palikuwa tetemeko kuu la inchi, jua likawa jeusi kama gunia la nywele, mwezi ukawa kama damu,


Hawataona njaa tena, wala hawataona kiu tena, wala jua halitawapiga, wala hari iliyo yote.


Malaika wa nne akapiga baragumu, thuluth ya jua ikapigwa, na thuluth ya mwezi, na thuluth ya nyota, illi ile thuluth itiwe giza, mchana usiangaze thuluth yake wala usiku vivyo hivyo.


Akalifungua shimo la abuso; moshi ukapanda kutoka lile shimo kama moshi wa tanuru kubwa: juu na anga vikatiwa giza kwa sababu ya ule moshi wa shimo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo