Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Ufunuo 16:15 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

15 Tazama, naja kama mwizi. Yu kheri akeshae, na kuyatunza mavazi yake, asiende uchi wakaone aibu yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 “Sikiliza! Mimi naja kama mwizi! Heri mtu akeshaye na kuvaa nguo zake ili asije akaenda uchi huko na huko na kuaibika hadharani.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 “Sikiliza! Mimi naja kama mwizi! Heri mtu akeshaye na kuvaa nguo zake ili asije akaenda uchi huko na huko na kuaibika hadharani.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 “Sikiliza! Mimi naja kama mwizi! Heri mtu akeshaye na kuvaa nguo zake ili asije akaenda uchi huko na huko na kuaibika hadharani.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 “Tazama, naja kama mwizi! Amebarikiwa yeye akeshaye na kuziweka tayari nguo zake ili asiende uchi na kuonekana aibu yake.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 “Tazama, naja kama mwizi! Amebarikiwa yeye akeshaye na kuziweka tayari nguo zake ili asiende uchi na kuonekana aibu yake.”

Tazama sura Nakili




Ufunuo 16:15
23 Marejeleo ya Msalaba  

Bassi kesheni, maana hamwijui siku wala saa ajapo Mwana wa Adamu.


Kesheni, kaombeni, msije mkaingia majaribuni: Roho ina nia njema, bali mwili ni dhaifu.


Kesheni, kasalini, msipate kuingia majaribuni: roho ina nia njema, hali mwili dhaifu.


Kwa hiyo kesheni killa wakati, mkiomba mpate kuhesabiwa kuwa mmestahili kuponea haya yote yatakayokuwa, na kusimama mahali penu mbele ya Mwana wa Adamu.


Kwa biyo kesheni, mkikumbuka kama miaka mitatu, usiku na mchana, sikuacha kumwonya killa mtu kwa machozi.


ikiwa tukiisha kuvikwa hatutaonekana tu uchi.


Bali ninyi, ndugu, hamwi katika giza, siku ile iwapale kama mwizi.


Bassi tusilale kama wengine, bali tukeshe, na kuwa na kiasi.


Mwisho wa mamho yote umekaribia; bassi, mwe na akili, mkakeshe katika sala:


Maana siku ya Bwana itakuja kama mwizi usiku; katika siku biyo mbingu zitatoweka kwa mshindo mkuu, na viumbe vya asili vitaunguzwa, na kufumuliwa, na inchi na kazi zilizomo ndani yake zitateketea.


Tazama, naja upesi; yu kheri yeye ayashikae maneno ya unabii wa kitabu hiki.


Tazama, naja upesi. Shika sana ulicho nacho asije mtu akaitwaa taji yako.


Nakupa shauri, ununue kwangu dhahabu iliyosafishwa kwa moto, upate kuwa tajiri; na mavazi meupe upate kuvaa, aibu ya nchi wako isionekane; na dawa ya macho ya kujipaka macho yako upate kuona,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo