Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Ufunuo 14:5 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

5 Na katika vinywa vyao haikuonwa bila. Maana hawana mawaa mbele ya kiti cha enzi cha Mungu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Hawakupata kamwe kuwa waongo; hawana hatia yoyote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Hawakupata kamwe kuwa waongo; hawana hatia yoyote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Hawakupata kamwe kuwa waongo; hawana hatia yoyote.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Vinywani mwao hapakuonekana uongo, wala hawakuwa na hatia yoyote.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Vinywani mwao hapakuonekana uongo, wala hawakuwa na hatia yoyote.

Tazama sura Nakili




Ufunuo 14:5
20 Marejeleo ya Msalaba  

Uzao wa nyoka, mwawezaje kusema mema, mkiwa wabaya? Maana, kinywa cha mtu huyanena yaujazayo moyo wake.


Pilato akawaambia makuhani wakuu na makutano, Mimi sioni khatiya yo yote katika mtu huyu.


Yesu akamwona Nathanaeli akija kwake, akamtaja khabari zake, Tazama, huyu ni Mwisraeli kweli kweli, hamna hila ndani yake.


apate kujiletea Kanisa tukufu lisilo na ila ama kunyanzi ama lo lole kama haya; bali liwe takatifu na lisilo na mawaa.


katika mwili wa nyama yake, kwa kufa kwake, illi awalete ninyi mbele zake, watakatifu, hamna mawaa wala lawama,


bassi si zaidi damu yake Kristo, ambae kwamba kwa Roho ya milele alijitoa nafsi yake kwa Mungu kuwa sadaka isiyo mawaa, itawasafisheni dhamiri zenu na matendo mafu, mpate kumwabudu Mungu aliye hayi?


bali kwa damu ya thamani, kama ya mwana kondoo asio na ila, na asio na waa, ya Kristo,


yeye hakutenda dhambi, wala hila haikuonekana kinywani mwake;


Kwa maana, Atakae kupenda maisha, Na kuona siku njema, Auzuie nlimi wake usinene mabaya, Na midomo yake isiseme hila:


Kwake Yeye awezae kuwalinda ninyi msijikwae, na kuwasimamisha mbele ya utukufu wake bila mawaa katika furaha kuu,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo