Ufunuo 14:5 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19215 Na katika vinywa vyao haikuonwa bila. Maana hawana mawaa mbele ya kiti cha enzi cha Mungu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Hawakupata kamwe kuwa waongo; hawana hatia yoyote. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Hawakupata kamwe kuwa waongo; hawana hatia yoyote. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Hawakupata kamwe kuwa waongo; hawana hatia yoyote. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Vinywani mwao hapakuonekana uongo, wala hawakuwa na hatia yoyote. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 Vinywani mwao hapakuonekana uongo, wala hawakuwa na hatia yoyote. Tazama sura |