Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Ufunuo 14:17 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

17 Malaika mwingine akatoka katika hekalu iliyo mbinguni, yeye nae ana mundu mkali.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Kisha, malaika mwingine akatoka katika hekalu mbinguni akiwa na mundu wenye makali.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Kisha, malaika mwingine akatoka katika hekalu mbinguni akiwa na mundu wenye makali.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Kisha, malaika mwingine akatoka katika hekalu mbinguni akiwa na mundu wenye makali.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Malaika mwingine akatoka katika Hekalu lililoko mbinguni, naye pia alikuwa na mundu mkali.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Malaika mwingine akatoka katika hekalu lililoko mbinguni, naye pia alikuwa na mundu mkali.

Tazama sura Nakili




Ufunuo 14:17
7 Marejeleo ya Msalaba  

Hekalu ya Mungu ikafunguliwa mbinguni na sanduku la agano likaonekana ndani ya hekalu yake. Kukawa umeme, na sauti, na radi, na tetemeko, na mvua ya mawe uyingi sana.


Na yeye aliyeketi juu ya wingu akautupa mundu wake juu ya inchi, inchi ikavunwa.


Na malaika mwingine akatoka katika ile madhbabu, mwenye mamlaka juu ya moto; kwa sauti kuu akamlilia yule mwenye mundu ule mkali, akisema, Tia mundu wako mkali, ukachume matawi va mzabibu wa inchi, maana zabibu zake zimewiva sana.


NIKASIKIA sauti kuu kutoka hekaluni, ikiwaambia wale malaika saba, Enendeni, mkavimimine vile vichupa vya ghadhabu ya Mungu juu ya inchi.


Malaika wa saba akakimimina kichupa chake katika hewa. Sauti kuu ikatoka katika hekalu ya mbinguni, kalika kiti kile cha enzi, ikisema, Imekwisha kuwa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo