Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Ufunuo 14:16 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

16 Na yeye aliyeketi juu ya wingu akautupa mundu wake juu ya inchi, inchi ikavunwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Basi, yule aliyekuwa amekaa juu ya wingu akautupa mundu wake duniani, na mavuno ya dunia yakavunwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Basi, yule aliyekuwa amekaa juu ya wingu akautupa mundu wake duniani, na mavuno ya dunia yakavunwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Basi, yule aliyekuwa amekaa juu ya wingu akautupa mundu wake duniani, na mavuno ya dunia yakavunwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Hivyo yule aliyekuwa ameketi juu ya lile wingu akauzungusha mundu wake duniani, nayo dunia ikavunwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Hivyo yule aliyekuwa ameketi juu ya lile wingu akauzungusha mundu wake duniani, nayo dunia ikavunwa.

Tazama sura Nakili




Ufunuo 14:16
7 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana Mwana wa Adamu atakuja katika utukufu wa Baba yake pamoja na malaika zake; ndipo atamlipa killa mtu kwa kadiri ya kutenda kwake.


Nikaona, na tazama, wingu jeupe, na juu ya wingu hilo ameketi mmoja, mfano wa Mwana Adamu, mwenye taji ya dhahabu juu ya kichwa chake, na katika mkono wake mundu mkali.


Malaika mwingine akatoka katika hekalu, kwa santi kuu akimlilia yeye aliyekuwa ameketi juu ya lile wingu, Tia mundu wako, ukavune; kwa kuwa saa ya kuvima imekuja; kwa kuwa mavimo ya inchi yamekomaa.


Malaika mwingine akatoka katika hekalu iliyo mbinguni, yeye nae ana mundu mkali.


Malaika yule akautupa mundu wake hatta inchi, akauchuma mzabibu wa inchi, akatupa katika shinikizo la hasira ya Mungu, lile kubwa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo