Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Ufunuo 13:9 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

9 Mtu akiwa na sikio na asikie.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Aliye na masikio, na asikie!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Aliye na masikio, na asikie!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Aliye na masikio, na asikie!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Yeye aliye na sikio na asikie.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Yeye aliye na sikio na asikie.

Tazama sura Nakili




Ufunuo 13:9
7 Marejeleo ya Msalaba  

Mwenye masikio ya kusikilia, na asikie.


Mtu akiwa na masikio ya kusikilia, na asikie.


Nyingine zikaanguka penye udongo mwema, zikamea, zikazaa mia mia. Alipokuwa akinena haya, akapaaza sauti yake, akisema, Mwenye masikio ya kusikilia, na asikie.


Yeye aliye na sikio na asikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa. Yeye ashindae hatapatikana na madhara ya mauti ya pili.


Yeye aliye na sikio na asikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa. Yeye ashindae nitampa kula baadhi ya ile manna iliyofiehwa, nami nitampa jiwe jeupe, na juu ya jiwe hilo limeandikwa jina, jina asilolijua mtu illa yeye aliyepewa.


Yeye aliye na sikio na asikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa.


Yeye alive na sikio, na asikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa. Yeye ashindae, nitampa kula matunda ya mti wa uzima ulio kati kati va bustani ya Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo