Ufunuo 13:6 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19216 Akafunna kinywa chake amtukane Mungu, na kulitukana jina lake, na maskani yake, nao wakaao mbinguni. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Basi, akaanza kumtukana Mungu, kulitukana jina lake, makao yake, na wote wakaao mbinguni. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Basi, akaanza kumtukana Mungu, kulitukana jina lake, makao yake, na wote wakaao mbinguni. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Basi, akaanza kumtukana Mungu, kulitukana jina lake, makao yake, na wote wakaao mbinguni. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Akafungua kinywa chake ili kumkufuru Mungu, akilitukana Jina lake na mahali aishipo na wale wanaokaa mbinguni. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Akafungua kinywa chake ili kumkufuru Mungu, akilitukana Jina lake na mahali aishipo na wale wakaao mbinguni. Tazama sura |