Ufunuo 13:11 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192111 Nikaona nyama mwingine akipanda juu kutoka inchi, nae alikuwa na pembe mbili mfano wa Mwana Kondoo, akanena kama joka. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Kisha, nikamwona mnyama mwingine anatoka ardhini. Alikuwa na pembe mbili kama pembe za kondoo, na aliongea kama joka. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Kisha, nikamwona mnyama mwingine anatoka ardhini. Alikuwa na pembe mbili kama pembe za kondoo, na aliongea kama joka. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Kisha, nikamwona mnyama mwingine anatoka ardhini. Alikuwa na pembe mbili kama pembe za kondoo, na aliongea kama joka. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Kisha nikamwona mnyama mwingine, akipanda juu kutoka ardhini. Alikuwa na pembe mbili kama mwana-kondoo, lakini akanena kama joka. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Kisha nikamwona mnyama mwingine, akipanda juu kutoka dunia. Alikuwa na pembe mbili kama mwana-kondoo, lakini akanena kama joka. Tazama sura |