Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Ufunuo 11:7 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

7 Hatta watakapoumaliza ushuhuda wao yule nyama atokae katika abuso atafanya vifa nao, nae atawashinda na kuwaua.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Lakini wakisha maliza kutoa unabii huo, mnyama atokaye shimoni kuzimu atapigana nao, atawashinda na kuwaua.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Lakini wakisha maliza kutoa unabii huo, mnyama atokaye shimoni kuzimu atapigana nao, atawashinda na kuwaua.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Lakini wakisha maliza kutoa unabii huo, mnyama atokaye shimoni kuzimu atapigana nao, atawashinda na kuwaua.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Basi watakapokuwa wamemaliza ushuhuda wao, yule mnyama atokaye katika lile Shimo atapigana nao vita, atawashinda na kuwaua.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Basi watakapokuwa wamemaliza ushuhuda wao, yule mnyama atokaye katika lile Shimo atapigana nao vita, atawashinda na kuwaua.

Tazama sura Nakili




Ufunuo 11:7
20 Marejeleo ya Msalaba  

Akawaambia, Enendeni zenu, nikamwambie yule mbweha, Tazama, nafukuza pepo, nafanya kazi ya kuwaponya watu leo na kesho, nami siku ya tatu nakamilika.


Akamsihi asiwaamuru waende zao hatta abusso.


Mimi nimekutukuza duniani. Kazi ile uliyonipa niifanye nimeimaliza.


Bassi Yesu alipoipokea siki, akasema, Imekwisha: akainama kichwa, akatoa roho.


Lakini siyahesabu maisha yaugu kuwa kitu cha thamani kwangu kama kuumaliza mwendo wangu na khuduma ile niliyopokea kwa Bwana Yesu, kuishuhudia Injili ya neema ya Mungu.


Nimevifanya vita vilivyo vizuri, mwendo nimeumaliza, Imani nimeilinda;


Nami nitawarukhusu mashahidi wangu wawili, nao watatoa unabii siku elfu na miateen na sittini, wamevikwa mavazi ya kigunia.


Joka akamkasirikia mwanamke akaenda zake afanye vita juu ya wazao wake waliosalia, wazishikao amri za Mungu, na kuwa na ushuhuda wa Yesu Kristo.


Nikaona nyama mwingine akipanda juu kutoka inchi, nae alikuwa na pembe mbili mfano wa Mwana Kondoo, akanena kama joka.


Akapewa kufanya vita na watakatifu na kuwashinda, akapewa uwezo juu ya killa kabila na lugba na taifa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo