Ufunuo 11:4 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19214 Hawo ndio ile mizeituni miwili na vile vinara viwili visimamavyo mbele ya Mungu wa inchi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Hao mashahidi wawili ni miti miwili ya mizeituni na taa mbili zinazosimama mbele ya Bwana wa dunia. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Hao mashahidi wawili ni miti miwili ya mizeituni na taa mbili zinazosimama mbele ya Bwana wa dunia. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Hao mashahidi wawili ni miti miwili ya mizeituni na taa mbili zinazosimama mbele ya Bwana wa dunia. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Hawa ndio ile mizeituni miwili na vile vinara viwili vya taa visimamavyo mbele za Mwenyezi Mungu, Mungu wa dunia yote. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Hawa ndio ile mizeituni miwili na vile vinara viwili vya taa visimamavyo mbele za Bwana Mwenyezi Mungu wa dunia yote. Tazama sura |