Ufunuo 11:17 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192117 wakisema, Tunakushukuru, Bwana Mungu Mwenyiezi, ulioko, na nliyekuwako, kwa sababu umetwaa uweza wako ulio mkuu, ukamiliki. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 wakisema: “Tunakushukuru ee Bwana Mungu Mwenye Nguvu, uliyeko na uliyekuwako! Maana umetumia nguvu yako kuu, ukaanza kutawala! Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 wakisema: “Tunakushukuru ee Bwana Mungu Mwenye Nguvu, uliyeko na uliyekuwako! Maana umetumia nguvu yako kuu, ukaanza kutawala! Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 wakisema: “Tunakushukuru ee Bwana Mungu Mwenye Nguvu, uliyeko na uliyekuwako! Maana umetumia nguvu yako kuu, ukaanza kutawala! Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 wakisema: “Tunakushukuru, Bwana Mungu Mwenyezi, uliyeko na uliyekuwako, kwa kuwa umetwaa uweza wako mkuu na ukaanza kutawala. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 wakisema: “Tunakushukuru, bwana Mwenyezi Mungu, uliyeko na uliyekuwako, kwa kuwa umetwaa uweza wako mkuu na ukaanza kutawala. Tazama sura |