Ufunuo 10:4 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19214 Hatta ngurumo saba zilipotoa sauti zao, nalikuwa tayari kuandika. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Na hizo ngurumo saba ziliposema, mimi nikataka kuandika. Lakini nikasikia sauti kutoka mbinguni: “Maneno ya ngurumo hizo saba ni siri; usiyaandike!” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Na hizo ngurumo saba ziliposema, mimi nikataka kuandika. Lakini nikasikia sauti kutoka mbinguni: “Maneno ya ngurumo hizo saba ni siri; usiyaandike!” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Na hizo ngurumo saba ziliposema, mimi nikataka kuandika. Lakini nikasikia sauti kutoka mbinguni: “Maneno ya ngurumo hizo saba ni siri; usiyaandike!” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Nazo zile radi saba zilipotoa ngurumo, nilitaka kuanza kuandika, lakini nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, “Yatie muhuri hayo yaliyosemwa na hizo radi saba na usiyaandike.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Nazo zile radi saba zilipotoa ngurumo, nilitaka kuanza kuandika, lakini nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, “Yatie muhuri hayo yaliyosemwa na hizo radi saba na usiyaandike.” Tazama sura |