Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Ufunuo 10:4 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

4 Hatta ngurumo saba zilipotoa sauti zao, nalikuwa tayari kuandika.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Na hizo ngurumo saba ziliposema, mimi nikataka kuandika. Lakini nikasikia sauti kutoka mbinguni: “Maneno ya ngurumo hizo saba ni siri; usiyaandike!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Na hizo ngurumo saba ziliposema, mimi nikataka kuandika. Lakini nikasikia sauti kutoka mbinguni: “Maneno ya ngurumo hizo saba ni siri; usiyaandike!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Na hizo ngurumo saba ziliposema, mimi nikataka kuandika. Lakini nikasikia sauti kutoka mbinguni: “Maneno ya ngurumo hizo saba ni siri; usiyaandike!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Nazo zile radi saba zilipotoa ngurumo, nilitaka kuanza kuandika, lakini nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, “Yatie muhuri hayo yaliyosemwa na hizo radi saba na usiyaandike.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Nazo zile radi saba zilipotoa ngurumo, nilitaka kuanza kuandika, lakini nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, “Yatie muhuri hayo yaliyosemwa na hizo radi saba na usiyaandike.”

Tazama sura Nakili




Ufunuo 10:4
13 Marejeleo ya Msalaba  

ikinena, Mimi ni Alfa na Omega, wa kwanza na wa mwisho. Haya uonayo yaandike katika chuo, ukayapeleke kwa makanisa saba yaliyo katika Asia; Efeso, na Smurna, na Pergamo, na Thuatera, na Sardi, na Filadelfia, na Laodikia.


Bassi, yaandike mambo uliyoyaona, nayo yatakayokuwa baada ya hayo.


Na sauti ile niliyoisikia kutoka mbinguni ilinena nami tena, ikisema, Enenda, kitwae kile kitabu kidogo kilichofunuliwa katika mkono wa yule malaika aliyesimama juu ya bahari na juu ya inchi.


Akaniambia, Msiyatie muhuri maneno ya unabii wa kitabu hiki, kwa maana wakati huo umekaribia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo