Ufunuo 10:3 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19213 Akalia kwa sauti kuu, kama simba angurumavyo. Na alipolia ugurumo saba zikatoa sauti zao. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 na kuita kwa sauti kubwa kama ya mngurumo wa simba. Alipopaza sauti, ngurumo saba ziliitikia kwa kishindo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 na kuita kwa sauti kubwa kama ya mngurumo wa simba. Alipopaza sauti, ngurumo saba ziliitikia kwa kishindo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 na kuita kwa sauti kubwa kama ya mngurumo wa simba. Alipopaza sauti, ngurumo saba ziliitikia kwa kishindo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Naye akapaza sauti kwa nguvu kama simba anayenguruma. Aliponguruma, zile radi saba zikatoa ngurumo zake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Naye akapiga kelele kwa sauti kuu kama simba anayenguruma. Alipopiga kelele, zile radi saba zikatoa ngurumo zake. Tazama sura |