Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Ufunuo 10:2 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

2 Na katika mkono wake alikuwa na kitabu kidogo kimefunuliwa. Akaweka mguu wake wa kuume juu ya bahari, na wa kushoto juu ya inchi,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Mikononi mwake alishika kitabu kidogo kimefunguliwa. Aliweka mguu wake wa kulia juu ya bahari na wa kushoto juu ya nchi kavu,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Mikononi mwake alishika kitabu kidogo kimefunguliwa. Aliweka mguu wake wa kulia juu ya bahari na wa kushoto juu ya nchi kavu,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Mikononi mwake alishika kitabu kidogo kimefunguliwa. Aliweka mguu wake wa kulia juu ya bahari na wa kushoto juu ya nchi kavu,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Mkononi mwake alikuwa ameshika kijitabu kilichokuwa kimefunguliwa. Akauweka mguu wake wa kuume juu ya bahari na mguu wake wa kushoto akauweka juu ya nchi kavu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Mkononi mwake alikuwa ameshika kijitabu kilichokuwa kimefunguliwa. Akauweka mguu wake wa kuume juu ya bahari na mguu wake wa kushoto akauweka juu ya nchi kavu.

Tazama sura Nakili




Ufunuo 10:2
13 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu akaja kwao, akasema nao, akinena, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na juu ya dunia.


Na yule malaika niliyemwona akisimama juu ya bahari na juu ya inchi akainua mkono wake kuelekea mbinguni,


NIKAONA hapo Mwana Kondoo alipofungua moja ya zile muhuri, nikasikia mmoja wa wale nyama wenye uhayi akisema, kama sauti ya ngurumo, Njoo! uone.


Na alipofungua muhuri ya pili, nikamsikia nyama wa pili akisema, Njoo uone.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo