Ufunuo 1:8 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19218 Mimi ni Alfa na Omega, mwanzo na mwisiio, asema Bwana Mungu, alioko, aliyekuwako, na atakaekuwako, Mwenyiezi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 “Mimi ni Alfa na Omega,” asema Bwana Mungu Mwenye Nguvu, aliyeko, aliyekuwako na anayekuja. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 “Mimi ni Alfa na Omega,” asema Bwana Mungu Mwenye Nguvu, aliyeko, aliyekuwako na anayekuja. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 “Mimi ni Alfa na Omega,” asema Bwana Mungu Mwenye Nguvu, aliyeko, aliyekuwako na anayekuja. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 “Mimi ni Alfa na Omega,” asema Bwana Mwenyezi Mungu, “aliyeko, aliyekuwako na atakayekuja, Mwenyezi.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 “Mimi ni Alfa na Omega,” asema Bwana Mwenyezi Mungu, “aliyeko, aliyekuwako na atakayekuja, Mwenyezi.” Tazama sura |