Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Ufunuo 1:19 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

19 Bassi, yaandike mambo uliyoyaona, nayo yatakayokuwa baada ya hayo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Basi, sasa andika mambo haya unayoyaona, mambo yanayotukia sasa na yale yatakayotukia baadaye.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Basi, sasa andika mambo haya unayoyaona, mambo yanayotukia sasa na yale yatakayotukia baadaye.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Basi, sasa andika mambo haya unayoyaona, mambo yanayotukia sasa na yale yatakayotukia baadaye.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 “Basi andika mambo uliyoyaona, yaliyopo na yale yatakayotukia baada ya haya.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 “Basi andika mambo uliyoyaona, yaliyopo na yale yatakayotukia baada ya haya.

Tazama sura Nakili




Ufunuo 1:19
8 Marejeleo ya Msalaba  

UFUNUO wa Yesu Kristo aliopewa na Mungu awaonyeshe watumishi wake mambo ambayo kwamba hayana buddi kuwa upesi: akatuma kwa mkono wa malaika akamwonyesha mtumishi wake Yohana;


ikinena, Mimi ni Alfa na Omega, wa kwanza na wa mwisho. Haya uonayo yaandike katika chuo, ukayapeleke kwa makanisa saba yaliyo katika Asia; Efeso, na Smurna, na Pergamo, na Thuatera, na Sardi, na Filadelfia, na Laodikia.


Nikageuka niione ile sauti iliyosema nami. Na nilipogeuka, nikaona vinara saba vya dhahabu;


Hatta ngurumo saba zilipotoa sauti zao, nalikuwa tayari kuandika.


Akaniambia, Andika, Wa kheri walioitwa kwa karamu ya arusi ya Mwana Kondoo. Akaniambia, Maneno haya ni maneno ya kweli ya Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo