Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Ufunuo 1:12 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

12 Nikageuka niione ile sauti iliyosema nami. Na nilipogeuka, nikaona vinara saba vya dhahabu;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Basi, nikageuka nimwone huyo aliyesema nami, nikaona vinara vya taa saba vya dhahabu,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Basi, nikageuka nimwone huyo aliyesema nami, nikaona vinara vya taa saba vya dhahabu,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Basi, nikageuka nimwone huyo aliyesema nami, nikaona vinara vya taa saba vya dhahabu,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Ndipo nikageuka ili nione ni sauti ya nani iliyokuwa ikisema nami. Nami nilipogeuka, nikaona vinara saba vya taa vya dhahabu,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Ndipo nikageuka ili nione ni sauti ya nani iliyokuwa ikisema nami. Nami nilipogeuka, nikaona vinara saba vya taa vya dhahabu,

Tazama sura Nakili




Ufunuo 1:12
11 Marejeleo ya Msalaba  

na kati kati ya vile vinara nikaona mtu kwa mfano wa Mwana Adamu, amevaa vazi lililofika miguuni, na kufungwa mshipi wa dhahabu matitini.


Bassi, yaandike mambo uliyoyaona, nayo yatakayokuwa baada ya hayo.


Siri ya zile nyota saba ulizoziona katika mkono wangu wa kuume, na ya vile vinara saba vya dhababu. Zile nyota saba ni malaika wa yale makanisa saba, na vile vinara saba ulivyoviona ni makanisa saba.


KWA malaika wa kanisa lililo katika Efeso andika; Haya ayanena yeye azishikae nyota saba katika mkono wake wa kuume, aendae kati kati ya vile vinara saba vya dhahabu.


BAADA ya haya naliona, na tazama mlango ukafunguka mbinguni, na sauti ya kwanza niliyoisikia kama sauti ya baragumu ikinena nami, ikisema, Panda hatta huku, nami nitakuonyesha mambo ambayo hayana buddi kuwa baada ya bayo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo