Tito 3:11 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192111 ukijua ya kuwa mtu kama huyu amegeukia mbali, tena afanya dhambi, amejihukumu nafsi yake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Wajua kwamba mtu wa namna hiyo amepotoka kabisa, na dhambi zake zathibitisha kwamba amekosea. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Wajua kwamba mtu wa namna hiyo amepotoka kabisa, na dhambi zake zathibitisha kwamba amekosea. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Wajua kwamba mtu wa namna hiyo amepotoka kabisa, na dhambi zake zathibitisha kwamba amekosea. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Kwa kuwa unajua kwamba mtu kama huyo amepotoka na tena ni mwenye dhambi. Yeye amejihukumu mwenyewe. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Kwa kuwa unajua kwamba mtu kama huyo amepotoka na tena ni mwenye dhambi. Yeye amejihukumu mwenyewe. Tazama sura |