Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Tito 3:10 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

10 Mtu mzushi, baada ya kumwonya marra ya kwanza na marra ya pili, mkatae;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Mtu anayesababisha mafarakano mpe onyo la kwanza na la pili, kisha achana naye.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Mtu anayesababisha mafarakano mpe onyo la kwanza na la pili, kisha achana naye.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Mtu anayesababisha mafarakano mpe onyo la kwanza na la pili, kisha achana naye.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Mtu anayesababisha mafarakano, mwonye mara ya kwanza, kisha mwonye mara ya pili. Baada ya hapo, usihusike naye tena.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Mtu anayesababisha mafarakano, mwonye mara ya kwanza, kisha mwonye mara ya pili. Baada ya hapo, usihusike naye tena.

Tazama sura Nakili




Tito 3:10
12 Marejeleo ya Msalaba  

Nawasihini, ndugu, waangalieni wale wafanyao fitina na mambo ya kukwaza kinyume cha mafundisho mliyojifunza; mkajiepushe nao.


kwa maana lazima kuwapo uzushi kwenu, illi waliokubaliwa wawe dhahiri kwenu.


Nimetangulia kuwaambia: na kama vile nilipokuwapo marra ya pili, vivyo hivyo sasa nisipokuwapo natangulia kuwaambia wao waliofanya dhambi zamani, na wengine wote, ya kwamba, nikija, sitahurumia:


Ningependa hawo wanaowatieni mashaka wangejikata nafsi zao.


ibada ya sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, fitina, faraka, nzushi,


Na ikiwa mtu aliye yote halishiki neno letu la waraka huu, jihadharini na mtu huyo, wala msizumgumze nae, apate kutahayarika;


Twawaagizeni, ndugu, katika jina la Bwana wetu Yesu Kristo, jitengeni nafsi zenu na killa ndugu aendae bila utaratibu, wala si kwa kufuata mapokeo mliyoyapokea kwetu.


wenye mfano wa utawa, lakini wakikana nguvu zake; ujiepushe na hao.


LAKINI kuliondoka manabii wa uwongo katika watu, kama vile kwenu kutakavyokuwa waalimu wa uwongo, watakaoingiza kwa werevu uzushi wa kupoteza, wakimkana hatta Bwana aliyewanunua, wakijiletea uharibifu nsiokawia.


Mtu akija kwenu, nae haleti mafundisho hayo, msimkaribishe nyumbani mwenu, wala msimpe salamu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo