Mathayo 9:5 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19215 Kwa maana vipi vyepesi, kusema, Umeondolewa dhambi zako; au kusema, Ondoka, ukaende? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Ni lipi lililo rahisi zaidi: Kusema, ‘Umesamehewa dhambi zako,’ au kusema, ‘Simama, utembee?’ Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Ni lipi lililo rahisi zaidi: Kusema, ‘Umesamehewa dhambi zako,’ au kusema, ‘Simama, utembee?’ Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Ni lipi lililo rahisi zaidi: kusema, ‘Umesamehewa dhambi zako,’ au kusema, ‘Simama, utembee?’ Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Je, ni lipi lililo rahisi zaidi: kusema, ‘Umesamehewa dhambi zako,’ au kusema, ‘Inuka, uende’? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 Je, ni lipi lililo rahisi zaidi: kusema, ‘Umesamehewa dhambi zako,’ au kusema, ‘Inuka, uende’? Tazama sura |