Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 9:36 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

36 Na alipowaona makutano, akawahurumia, kwa maana walikuwa wamechoka na kutawanyika kama kondoo wasio na mchunga.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

36 Basi, alipowaona watu, makundi kwa makundi, aliwaonea huruma kwa sababu walikuwa hoi na wenye wasiwasi kama kondoo wasio na mchungaji.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

36 Basi, alipowaona watu, makundi kwa makundi, aliwaonea huruma kwa sababu walikuwa hoi na wenye wasiwasi kama kondoo wasio na mchungaji.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

36 Basi, alipowaona watu, makundi kwa makundi, aliwaonea huruma kwa sababu walikuwa hoi na wenye wasiwasi kama kondoo wasio na mchungaji.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

36 Alipoona umati wa watu, aliwahurumia kwa sababu walikuwa wanasumbuka bila msaada, kama kondoo wasiokuwa na mchungaji.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

36 Alipoona makutano, aliwahurumia kwa sababu walikuwa wanasumbuka bila msaada, kama kondoo wasiokuwa na mchungaji.

Tazama sura Nakili




Mathayo 9:36
18 Marejeleo ya Msalaba  

afadhali shikeni njia kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.


Yesu akatoka, akaona makutano mengi, akawahurumia, akawaponya wagonjwa wao.


Nae akajibu, akasema, Sikupelekwa illa kwa kondoo zilizopotea za nyumba ya Israeli.


Yesu akawaita wanafunzi wake, akasema, Nawahurumia makutano, kwa kuwa yapata siku tatu wamekaa pamoja nami, hawana kitu cha kula: na kuwaaga wakifunga sitaki, wasije wakazimia njiani.


Yesu aliposhuka chomboni, akaona makutano mengi, akawahurumia, kwa sababu walikuwa kana kondoo wasio mchunga; akaanza kuwafundisha mengi.


Nawahurumia makutano kwa sababu yapata siku tatu wamekaa nami, wala hawana kitu cha kula:


Kwa kuwa hatuna kuhani mkuu asiyeweza kuyachukua mambo yetu ya udhaifu; bali yeye alijuribiwa sawa sawa na sisi katika mambo yote, bila dhambi.


awezae kuwachukulia wao wasiojua na wenye kupotea, kwa kuwa yeye mwenyewe yu katika liali ya udhaifu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo